Wed, 17 Mar 2021
Chanzo: millardayo.com
Wachezaji 8 wa Al Merrekh wamethibitishwa kuwa na Virusi vya Corona. Hii itapelekea kukosa mchezo wao dhidi ya Simba utaochezwa leo saa 10 jioni.
Wachezaji hao ni Abdul Rahman Karango, Al Taj Yaqoub, Bakhit Khamis, Ramadan Wonder, Tony, Bakri Al Madina, Saif Al Damazin na Imad Abdel Moneim.
Klabu ya Al Merrikh imeandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hizi ni jitihada za Makusudi za Simba za kutaka kuwakwamisha.
SIMBA SC WAMEWASILI KWA MKAPA WAKIWA KAMILI KUIKABILI EL MERREIKH
Chanzo: millardayo.com