Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi Hans Rafael amesema kwa mtazamo wake, ni wachezaji wanne tu wa Yanga SC wanaoweza kuanza katika kikosi cha Mamelodi Sandowns.
“Kauli ya Ali Kamwe inafikirisha kidogo na sijajua amelenga eneo gani lakini kwa upande wangu ni Wachezaji wanne tu wa Yanga ndio wanaweza kuanza kikosi cha Mamelodi Sundowns,” alisema Hans Rafael.
Wachezaji hao wanne ambao Hans amewataja ni Joyce Lomalisa, Ibrahim Bacca, Aziz Ki na Pacome.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live