Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United watacheza game yao ya EPL mwishoni mwa wiki dhidi ya Liverpool bila ya uwepo wa nyota wake 13.
Mchezo huo wa Ligi Kuu England utapigwa katika Dimba la Anfield nyumbani kwa Liverpool na wachezaji hao wataukosa mchezo huo kutokana na sababu mbalimbali.
Walioumia ni
Maguire
Shaw
Mount
Martinez
Casemiro
Eriksen
Lindelof
Diallo
Malacia
Martial
Rashford
Fernandes (Kadi za njano)
Sancho (Ugomvi na Kocha)
Mechi mbili za mwisho United kukanyaga Anfield wamekubali kuruhusu mabao 11 (7-0) na nyingine ni (4-0).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live