Wed, 31 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Majuzi Mauricio Pochettino alichukua kibarua cha kuinoa Chelsea kutoka kwa Frank Lampard na kazi hiyo atainza rasmi msimu ujao 2023/24.
Kama ulikuwa hufahamu chukua hii! Mauricio Pochettino anakuwa kocha wa tano kuchukua mikoba ya kuinoa Chelsea na Spurs kwenye Ligi Kuu England baada ya André Villas-Boas, Antonio Conte, Glenn Hoddle na Jose Mourinho huku akiwa na wastani wa kushinda pointi 1.89 kwa kila mchezo alioiongoza Spurs EPL.
Je Pochettino atafanikiwa ndani ya Chelsea?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live