Mon, 26 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambulizi wa Liverpool Mohamed Salah, 31, ndiye mchezaji mwingine anayesakwa na Saudi Pro League baada ya kuwasili kwa Karim Benzema na N'Golo Kante.
Mshambulizi wa Liverpool Mohamed Salah, 31, ndiye mchezaji mwingine anayesakwa na Saudi Pro League baada ya kuwasili kwa Karim Benzema na N'Golo Kante. Vilabu vya Saudi Arabia vimeanza kwa kasi kufukuzia saini za mastaa wa Ulaya wakiwa tayari washamnyakua Cristiano Ronaldo, Neves, Koulibaly na wengine wengi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live