Tue, 6 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Unaambiwa timu mbili za Saudi zinamuhitaji Kiungo N'golo Kante anayekipiga katika klabu ya Chelsea.
Unaambiwa timu mbili za Saudi zinamuhitaji Kiungo N'golo Kante anayekipiga katika klabu ya Chelsea. Klabu hizo ni Al Ittihad (alipoenda Benzema) pamoja na Al Nassr (anapocheza Ronaldo) ambao wameweka kiasi cha Pauni Milioni 100.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live