Mon, 21 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al-Shabab ya Saudi Arabia imefikia makubaliano na miamba ya Jiji la Liverpool, Everton kwa ajili kumsajili winga Demarai Gray.
Klabu ya Al-Shabab ya Saudi Arabia imefikia makubaliano na miamba ya Jiji la Liverpool, Everton kwa ajili kumsajili winga Demarai Gray. Miamba hiyo ya Saudi Arabia kwa sasa ipo kwenye mazungumzo ya maslahi binafsi na Gray (27) raia wa Jamaica.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live