Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waamuzi wa Tanzania Arajiga Ahmed, Frank Komba, Kassim Mpanga na Ramadhan Kayoko wameteuliwa na FIFA kuwa Waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, Cameroon dhidi ya Mauritius utakaochezwa Novemba 17, 2023
Waamuzi wa Tanzania Arajiga Ahmed, Frank Komba, Kassim Mpanga na Ramadhan Kayoko wameteuliwa na FIFA kuwa Waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, Cameroon dhidi ya Mauritius utakaochezwa Novemba 17, 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live