Sat, 2 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waamuzi wa FIFA Ramadhani Kayoko na Frank Komba na Sudi Lilla wanatarajiwa kuchezesha fainali ya NDONDO CUP kesho Jumapili katika Uwanja wa Kinesi.
Fainali itawakutanisha baina ya MADENGE Vs KIBANGU RANGERS.
Unaambiwa historia ya NDONDO CUP hakuna timu imewahi kubeba ubingwa huo mara 2 mfululizo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live