Wed, 6 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waamuzi wa Tanzania Tatu Malogo na Glory Tesha wameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu mashindano ya Afrika kwa Wanawake (AWC 2024) Uganda vs Algeria utakaochezwa Septemba 20,2023 Uganda.
Waamuzi wa Tanzania Tatu Malogo na Glory Tesha wameteuliwa na CAF kuwa miongoni mwa waamuzi watakaochezesha mchezo wa kufuzu mashindano ya Afrika kwa Wanawake (AWC 2024) Uganda vs Algeria utakaochezwa Septemba 20,2023 Uganda.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live