Fri, 10 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amezungumza na wanasimba kupitia ujumbe wa maandishi.
Ahmed amewaambia mashabiki wawe watulivu katika kipindi hiki wanachopitia.
"Utulivu na Subira ndo silaha ya kutambua na kutatua changamoto zinazotukabili. Vurugu matusi na kejeli hazijawahi kujenga chochote na popote katika hii dunia."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live