Tue, 13 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Naibu Waziri wa utamaduni sanaa na michezo Mhe. Hamisi Mwinjuma jana wakati wa utoaji tuzo za TFF amesema kutakuwa na ujenzi wa viwanja vipya viwili vya kisasa katika mikoa ya Arusha na Dodoma kabla ya mwaka 2027.
Aidha aliongeza kuwa kutakuwa na ukarabati wa viwanja saba ambavyo ni;
Benjamini Mkapa Stadium
Karume Stadium
Uhuru Stadium
Jamhuri Stadium Dodoma
Mkwakwani Stadium
Sokoine Stadium
Kirumba Stadium.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live