Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba, Thomas Tuchel amewapa mapumziko wachezaji wake baada ya kupoteza mechi 3 mfululizo.
Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba, Thomas Tuchel amewapa mapumziko wachezaji wake baada ya kupoteza mechi 3 mfululizo. Lengo ni kuwafanya waondokane na mawazo ya vipigo hivyo kwa kukutana na familia zao kabla ya mchezo muhimu dhidi ya RB Leipzig Jumamosi,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live