Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
UEFA imemchagua Winga hatari wa Klabu ya Real Madrid,Vinicius Jr kuwa Mchezaji bora wa Msimu wa 2023/24 wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuisaidia Klabu yake kutwaa Ubingwa wa kombe hilo.
UEFA imemchagua Winga hatari wa Klabu ya Real Madrid,Vinicius Jr kuwa Mchezaji bora wa Msimu wa 2023/24 wa Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya baada ya kuisaidia Klabu yake kutwaa Ubingwa wa kombe hilo. Vini Jr alifunga bao 1 katika mchezo wa Fainali dhidi ya Dortmund mchezo uliopigwa Wembley Juni 1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live