Thu, 24 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu Tanzania Bara imekamilisha mechi 15 za mzunguko wa Kwanza jana Februari 23.
Reliant Lusajo kutoka Namungo FC ndio anaeobgoza orodha ya wafungaji akiwa na magoli 10.
Orodha hiyo imetawaliwa sana na wachezaji wa Yanga ambao wamefumania nyavu kwa kiasi kikubwa.
Hii hapa Orodha ya wanaoongoza kwa ufungaji;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live