Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ahmed Ally, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC amewaambia mashabiki kwamba baada ya kocha wao mpya Abdelhak Benchikha kutua, sasa hakutakuwa tena na manung'uniko.
Ahmed ameyasema hayo leo Novemba 28, alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.
"Kwa kocha huyu, yale manung'uniko, vilio, masononeko na manyanyaso mbalimbali ambayo mashabiki walikuwa nayo sasa yamefikia mwisho," Ahmed Ally.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live