Mlinzi wa klabu ya Mamelodi Sundowns Khuliso Mudau (28) kwa kipindi cha hivi karibuni amekuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Burnley inayoshiriki Ligi kuu soka England baada ya kuwa kwenye kiwango bora akiwa na Mamelodi Sundowns na timu ya Taifa ya Afrika Kusini.
Mlinzi wa klabu ya Mamelodi Sundowns Khuliso Mudau (28) kwa kipindi cha hivi karibuni amekuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya Burnley inayoshiriki Ligi kuu soka England baada ya kuwa kwenye kiwango bora akiwa na Mamelodi Sundowns na timu ya Taifa ya Afrika Kusini. Mudau amesema kuwa na yeye amezisikia tetesi hizo na kama Burnley watawasilisha ofa rasmi basi ataenda kutumika kwenye kikosi hicho lakini kwasasa mawazo yake yapo kwenye kuisaidia timu yake ya Mamelodi Sundowns.