Mon, 27 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wasimamizi wa Kevin De Bruyne wapo Saudi Arabia kwenye mazungumzo na mabosi wa Al Hilal kusikiliza ofa ya matajiri hao ambao wanamtaka kiungo huyo.
Wasimamizi wa Kevin De Bruyne wapo Saudi Arabia kwenye mazungumzo na mabosi wa Al Hilal kusikiliza ofa ya matajiri hao ambao wanamtaka kiungo huyo. Hata hivyo uwezekano wa KDB kusalia Man City ni mkubwa kuliko kuondoka na kama ataondoka Man City basi huwenda akajiunga na vilabu vya MLS.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live