Thu, 19 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu za Tottenham Hotspur, West Ham na Burussia Dortmund wote wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa klabu ya AS Roma Nicolo Zaniolo mwenzi Huu.
AS Roma watakuwa wazi kupokea ofa ya kati ya euro million 35 mpaka 40 na si vinginevyo.
Awali klabu ya Arsenal waliripotiwa kuvutiwa pia na mchezaji huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live