Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester City na Real Madrid zipo kwenye mipango ya kusaka saini ya beki wa Chelsea Reece James ambaye ametoka kwenye majeraha hivi karibuni .
Klabu ya Manchester City na Real Madrid zipo kwenye mipango ya kusaka saini ya beki wa Chelsea Reece James ambaye ametoka kwenye majeraha hivi karibuni . Reece amekuwa na kiwango Boa na siku nyingi Real Madrid wametajwa kuhitaji saini yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live