Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kuna baadhi ya timu zimeulizia uwezekano wa kuipata saini ya mshambuliaji wa Medeama, Jonathan Sowah za Kaskazini zikituma ofa ya kumnunua na za Mashariki.
Kuna baadhi ya timu zimeulizia uwezekano wa kuipata saini ya mshambuliaji wa Medeama, Jonathan Sowah za Kaskazini zikituma ofa ya kumnunua na za Mashariki. Klabu za Pyramids, Singida FG na Yanga zimeulizia uwezekano wa kumpata Mshambuliaji huyo hatari wa klabu ya Medeama ambaye amekuwa na msimu bora sana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live