Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United, Manchester City na Chelsea wako tayari kupambana kuwania saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ireland Mason Meliá (16),
Manchester United, Manchester City na Chelsea wako tayari kupambana kuwania saini ya mshambuliaji wa kimataifa wa Ireland Mason Meliá (16), Mason ni moja ya kati vijana wenye vipaji vikubwa, anatarajiwa kufanya makubwa katika soka la bara la Ulaya kwa siku zijazo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live