Tue, 26 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano binafsi na mshambuliaji wa klabu ya SSC Napoli raia wa Nigeria Victor Osimhem juu ya kujiunga na klabu hiyo msimu ujao
Klabu ya Chelsea imefikia makubaliano binafsi na mshambuliaji wa klabu ya SSC Napoli raia wa Nigeria Victor Osimhem juu ya kujiunga na klabu hiyo msimu ujao Osimhem ameridhia na yupo tayari kujiunga na miamba hao wa Jiji la London. Kinachofuta ni makubaliano baina ya klabu Kwa klabu (Chelsea na Napoli).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live