Thu, 4 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen (25), anatarajiwa kuwa sehemu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na msimu mpya wa 2024/2025.
Mshambuliaji wa Napoli Victor Osimhen (25), anatarajiwa kuwa sehemu ya maandalizi ya kikosi hicho kujiandaa na msimu mpya wa 2024/2025. Klabu za Manchester United, Chelsea na Arsenal za Uingereza zilikuwa na nia ya kumnunua mchezaji huyo wa kimataifa wa Nigeria, lakini zimegonga mwamba. (Football Italia).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live