Hakuna mchezaji aliyefunga mabao mengi ya Uefa Europa league msimu huu kumzidi Victor Boniface, mshambuliaji huyu wa klabu ya Union St. Gilloise, amefunga mabao sita (6) sawa na Marcus Rashford.
Victor Okoh Boniace katika Uefa Europa league msimu huu hadi
Mechi 9
Dakika 696
Mabao 6
Pasi ya bao 1
Wastani wa kufunga bao kwa kila dakika 116
Nafasi alizotengeneza 5
Mashuti yaliyolenga goli 12
Mshambuliaji huyu raia Nigeria mwenye miaka 22, pia ameshaifungia klabu yake ya Union St. Gilloise mabao 15 katika mashindano yote msimu huu hadi sasa.
Mechi 42
Ameanza mechi 38
Dakika alizocheza 3230
Mabao 15
Pasi za mabao 9
Super Eagle mwengine katika fomu nzuri ya kufunga mabao, katika ligi kuu Belgium ana mabao 7 na assists 6 . Umri wake ni miaka 22