Mon, 11 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Marco Verratti amefikia makubaliano na klabu ya Al Arabi kwa ajili ya kujiunga na miamba hiyo ya Qatar.
Kiungo wa Marco Verratti amefikia makubaliano na klabu ya Al Arabi kwa ajili ya kujiunga na miamba hiyo ya Qatar. Al Arabi tayari imefikia makubaliano na PSG kwa ajili ya kumnunua Verratti (30) raia wa Italia kwa dau la euro milioni 45.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live