Wed, 30 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Kati wa Manchester United Raphael Varane atakuwa Njee ya Uwanja kwa muda wa Wiki Sita baada ya kupata jeraha kwenye mchezo dhidi ya Nottingham Forest.
Hii inatoa wasiwasi kwa Mwalimu Ten Hag kwani tayari Kikosi hicho kina orodha ndefu ya majeruhi.
MAJERUHI WENGINE
Mason Mount
Luke Shaw
Rasmus Hojlund
Amad Diallo
Tyrell Malacia
Kobbie Mainoo
Chanzo: www.tanzaniaweb.live