Mon, 27 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Raphaël Varane amevurugwa kwa kupoteza nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza, lakini bado hajaonyesha kuwa anataka kuondoka.
Walio karibu na Raphael Varane wanasema anahitaji tu mfululizo wa mechi ili kupata fomu yake tena.
Ten Hag akijibu tetesi zinazodai wametofautiana na Varane; "Raphael Varane [tatizo]? Sijui unazungumzia nini. Unazungumzia tetesi?. Ni mchezaji muhimu sana, lakini kuna ushindani wa ndani."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live