Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa timu ya Taifa ya Uholanzi wamelalamikia hali ya uwanja kuwa sababu ya wao kupata shida na kucheza chini ya kiwango kwenye mchezo wao wa jana dhidi ya Greece! Mechi hiyo ilichezwa OPAP Arena, Filadelfia Greece
“Huu ni uwanja mbaya zaidi kuwahi kucheza soka," amesema Weghorst.
“Umeona uwanja? ni mbaya siamini kuwa hadi leo bado inaruhusiwa kutumia uwanja katika kiwango hiki," amesema Van Dijk.
Mechi iliisha kwa Uholanzi kushinda bao 1-0 , goli la Van Dijk huku Weghorst akikosa penati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live