Mon, 18 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mchezaji Donny van de Beek anatarajiwa kukamilisha vipimo vya afya katika saa 24 zijazo kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha Eintracht Frankfurt kwa mkataba wa mkopo utakaosainiwa wiki hii akitokea katika ‘klabu’ ya Manchester United.
Kiungo mchezaji Donny van de Beek anatarajiwa kukamilisha vipimo vya afya katika saa 24 zijazo kwa ajili ya kujiunga na kikosi cha Eintracht Frankfurt kwa mkataba wa mkopo utakaosainiwa wiki hii akitokea katika ‘klabu’ ya Manchester United. Kwenye mkataba huo mchezaji huyo atanunuliwa kwa ada ya pauni 11 milioni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live