Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mipango ya mchezaji wa timu ya Taifa ya Uruguay Fede Valverde juu ya namna ya kumzuia Messi kwenye mechi dhidi ya Argentina Alhamisi.
“Sijui ni namna gani ya kumkaba na kumzuia maana sijawahi kufanikiwa kumzuia tulipokuwa tukikutana kwenye El Clasico “
“Lakini nitaingia kwa heshima kwa sababu najua ni mchezaji bora Duniani “
Kufeli kupanga ni kupanga pia
Chanzo: www.tanzaniaweb.live