Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Real Madrid Federico Valverde angetamani siku moja kuwa nahodha wa kukiongoza kikosi hicho kwenye kila mchezo.
"Ni ndoto yangu kuwa nahodha wa Real Madrid siku moja. Hiyo itakuwa hisia ya kushangaza kwangu, kama ilivyokuwa wakati nilivaa kitambaa cha unahodha wa timu ya Uruguay".
"Hapa huwa najaribu kujifunza kutoka kwa Modrić, Carvajal, Kroos. Hao ndio manahodha wetu, vioo vyetu katika klabu ya Madrid, Kuwa nahodha wa Real Madrid itakuwa ndoto kubwa kwangu".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live