Fri, 5 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Valentin Castellanos sasa ameifungia Gerona mabao 7 katika mechi nne za mwisho La Liga.
Dhidi ya Elche - 1
Dhidi ya Real Madrid - 4
dhidi ya Sevilla - 1
dhidi ya Mallorca - 1
Ni wachezaji wanne tu wenye mabao mengi kumzidi yeye katika La Liga msimu huu.
Takwimu zake katika La Liga msimu huu hadi sasa.
Mechi 31
Dakika 2387
Mabao 13
Dakika kwa kila bao 184
Mabao kwa mguu wa kulia 7
Mabao kwa kichwa 5
Mabao kwa mguu wa kushoto 1
Castellanos (miaka 24) mshambuaji wa kati kutoka Argentina yupo Girona kwa mkopo kutoka New York city.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live