Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: Azam TV
Makipa wa Simba SC, Ally Salim na Ahmed Feruz wapo kwenye tizi la kufa mtu huko Uturuki ambako Wwekundu hao wa Msimbazi wameweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi 2023-24.
Makipa hao wananoliwa na mwalimu mpya wa makipa Daniel Cadena ambaye Simba wamemtambulisha wiki iliyopita.
Tazama mazoezi ya makipa wa kikosi cha #SimbaSC kwenye kambi yao nchini Uturuki.#SimbaUturuki #SimbaPreseason #SimbaKambini #KambiYaSimba #SimbaSC #Turkey pic.twitter.com/d0yh51BiZF
— Azam TV (@azamtvtz) July 14, 2023
Chanzo: Azam TV