Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi kuu ya England (EPL) imetuma Mpango wa Kuboresha VAR kwa vilabu kabla ya mkutano mkuu wa mwaka huu,
Ligi kuu ya England (EPL) imetuma Mpango wa Kuboresha VAR kwa vilabu kabla ya mkutano mkuu wa mwaka huu, EPL inadai kutakuwa na maamuzi 100 zaidi yasiyo sahihi ya waamuzi yanayofanywa kwa msimu ikiwa vilabu vitapiga kura kuondoa VAR.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live