Wed, 29 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Machi 29, 2017 Cristiano Ronaldo alipewa heshima ya kipekee huko Madeira nchini Ureno sehemu alipozaliwa na kukulia ambapo uwanja wa ndege wa 'Madeira Airport' ulibadilishwa jina rasmi na kuitwa 'Cristiano Ronaldo International Airport'.
Machi 29, 2017 Cristiano Ronaldo alipewa heshima ya kipekee huko Madeira nchini Ureno sehemu alipozaliwa na kukulia ambapo uwanja wa ndege wa 'Madeira Airport' ulibadilishwa jina rasmi na kuitwa 'Cristiano Ronaldo International Airport'.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live