Sat, 9 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi imethibitisha kuwa klabu ya Simba SC Tanzania itautumia Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam katika mechi zake zote za nyumbani zilizo salia baada ya Uga wa Jamhuri, Morogoro kufungiwa kutokana na kutokidhi vigezo vya NBCPL.
Bodi ya Ligi imethibitisha kuwa klabu ya Simba SC Tanzania itautumia Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam katika mechi zake zote za nyumbani zilizo salia baada ya Uga wa Jamhuri, Morogoro kufungiwa kutokana na kutokidhi vigezo vya NBCPL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live