Wed, 1 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwenye mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari baada ya kujiunga rasmi na klabu ya Manchester United,
Kocha wa timu hiyo Erik Ten Hag alinukuliwa akisema; "Ninawaheshimu wote Liverpool na Manchester city wanacheza vizuri, Lakini zama zao za kutawala soka la uingereza zimefika tamati,
"Unahisi kwa mwenendo wa klabu yake itafika siku Ten Hag atatawala soka la uingereza?"
Chanzo: www.tanzaniaweb.live