Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwigulu Nchemba Mjumbe Bodi ya Wadhamini Yanga SC ametembelea kambi ya IHEFU kutia hamasa siku chache kabla IHEFU na Yanga hawajacheza.
Kitendo hicho kimeibua mjadala mkubwa kwa wadau wa soka wakihoji inakuaje kwa Mwanachama na mdhamini wa Yanga anatembelea kambi ya wapinzani wa Yanga kutia hamasa.
Sasa Jopo la Wachambuzi kutoka E-fm kupitia kipindi cha Sports Headquartes wamejadili suala hilo kiundani.
Sikiliza Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live