Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchakamchaka unaendelea ligi ya Mabingwa ulaya mechi nane katika viwanja tofauti tofauti zikisaka tiketi hatua ya 16 bora.
Ratiba ya michezo ya leo ni kama ifuatayo;
Matokeo ya mechi za jana Ligi ya Mabingwa Ulaya;
Shakhtar Donetsk 1-0 Royal Antwerp
Barcelona 2-1 Porto
Manchester City 3-2 RB Leipzig
Young Boys 2-0 Crvena Zvezda
AC Milan 1-3 B. Dortmund
PSG 1-1 Newcastle
Lazio 2-0 Celtic
Feyenoord 1-3 Atletico
Chanzo: www.tanzaniaweb.live