Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe.Hamis Mwinjuma amesema kuwa kwenye ukarabati unaoendelea katika Dimba la Benjamin Mkapa wataweka utaratibu mzuri ambapo hata kwenye kiti ambacho mtu alishalipia tiketi yake ila hajafika basi hicho kiti hakitakaliwa na mtu mwingine
Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe.Hamis Mwinjuma amesema kuwa kwenye ukarabati unaoendelea katika Dimba la Benjamin Mkapa wataweka utaratibu mzuri ambapo hata kwenye kiti ambacho mtu alishalipia tiketi yake ila hajafika basi hicho kiti hakitakaliwa na mtu mwingine "Hata hizi seat ambazo sasa hivi tunakwenda kutengeneza na zitabadilishwa zote uwanja mzima seat elfu 60 na ushee, zitakuwa na namba na utaratibu wa kukaa, tiketi inaandikwa namba na seat ina namba, wewe ukikata tiketi na haujaja uwanjani hakuna mtu anatakiwa kukaa kwenye kiti/seat yako" amesema Naibu Waziri Hamis Mwinjuma