Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United ilimsajili Jadon Sancho kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 73 kutoka Dortmund ikimlipa mshahara wa pauni 350,000 kwa wiki.
Sancho (23) ameifungia Man United magoli 12 na pasi saidizi (assist) 6 kabla ya kuhitilafiana na mwalimu Eric Ten Hag na kuondoshwa nje ya kikosi cha kwanza.
Miezi 30 baadaye Sancho raia wa England anarejea Dortmund kwa mkopo usio na chaguo la kusajiliwa jumla.
Unaupa asilimia ngapi usajili wa Sancho kwenda Man United?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live