Sat, 23 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Wanawake "Twiga Stars" iko nyuma kwa magoli 3-1 dhidi ya Nambibia katika mchezo wa kufuzu kwa Michuano ya AFCON kwa Wanawake.
Goli la Stars limefungwa na Mwanahamisi huku yale ya Namibia yakiwekwa wavuni na Coleman.
Mchezo huo wa marudiano unapigwa katika dimba la Dobsonville, Soweto, Afrika ya Kusini.
Mpaka sasa mchezo huo ni mapumziko, pengine tuone mwalimu atakuja na marekebisho gani kipindi cha pili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live