Thu, 25 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Chelsea Enzo Fernandez anatajiwa kufanyiwa upasuaji wa HERNIA siku zijazo na ataukosa msimu uliosalia.
Kiungo wa Chelsea Enzo Fernandez anatajiwa kufanyiwa upasuaji wa HERNIA siku zijazo na ataukosa msimu uliosalia. Atakuwa nje kwa mwezi mmoja, akilenga kupona kwa wakati ili kusafiri na Timu ya Taifa ya Argentina kwenye Copa America.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live