Mon, 20 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Klabu ya Simba kwa mara ya kwanza umetoa neno tangu walipozindua kampeni ya Uchangiaji wa Uwanja wa Simba SC.
Akizungumza mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ amewasisitiza wanasimba waendele na michango mambo mazuri yanakuja.
Tazama video hapa chini usikie alichokisema;
???? Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ (@salim_tryagain) akizungumzia zoezi la mashabiki kuchangia ujenzi wa uwanja wa Simba.
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) December 20, 2021
???? unakuja ???? #NguvuMoja pic.twitter.com/Mo2pLFUhhZ
Chanzo: www.tanzaniaweb.live