Wed, 7 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa Andy Cole, mchezaji wa zamani waq Manchester United anasema kuwa kwa sasa Timu hiyo inahitaji juhudi kubwa kurudi katika makali yake.
Kama Manchester United inataka kumnunua Harry Kane na Declan Rice bado hawataweza kushinda EPL kwa sababu gap dhidi ya Man City bado ni kubwa.
Wachezaji wawili wanaweza kuboresha timu lakini siyo kumpita wala kushindana na Man City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live