Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Unamkubali? Ona alichofanya uwanjani msimu huu

Haaland Bao 2 Unamkubali? Ona alichofanya uwanjani msimu huu

Wed, 1 May 2024 Chanzo: Mwanaspoti

Kwenye msimamo wa Ligi Kuu England, unasoma Arsenal ipo kileleni na pointi 80 baada ya mechi 35.

Nyuma yao wapo mabingwa watetezi, Manchester City wenye pointi 79 kwenye mechi 34. Hapo kuna vita ya kusaka ubingwa, inayowahusu marafiki wawili, Mikel Arteta na Pep Guardiola, ambao walikuwa pamoja Etihad kabla ya kila mmoja kuchukua njia zake na kuanza kuonyeshana ubabe.

Vita ya wawili hao ndio gumzo la Ligi Kuu England msimu huu, ambapo Arteta akipambana kuipa Arsenal taji la kwanza la ligi hiyo yangu msimu wa 2003-04, wakati Guardiola anataka kuandika rekodi ya kubeba ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo. Nani atashinda? Utamu ni kwamba Arteta amebakiza mechi tatu na Guardiola mechi nne.

Lakini, ushajiuliza wakati hilo likiendelea huko, nini wamefanya mastaa waliopambana kwenye mikikimikiki hiyo ya Ligi Kuu England msimu huu? Kwa mujibu wa takwimu za FBRef, hii hapa orodha ya mastaa walioongoza kwenye vita mbalimbali za ndani ya uwanja kwenye ligi hiyo msimu huu.

Mabao Erling Haaland (Man City) – 21

Cole Palmer (Chelsea) – 20

Ollie Watkins (Aston Villa) – 19

Alexander Isak (Newcastle) – 19

Dominic Solanke (Bournemouth) – 18

Mo Salah (Liverpool) – 17

Phil Foden (Man City) – 16

Jarrod Bowen (West Ham) – 16

Heung-min Son (Tottenham) – 16

Bukayo Saka (Arsenal) – 15

Asisti

Ollie Watkins (Aston Villa) – 12

Kieran Trippier (Newcastle) – 10

Pascal Gross (Brighton) – 10

Mo Salah (Liverpool) – 9

Pedro Neto (Wolves) – 9

Cole Palmer (Chelsea) – 9

Heung-min Son (Tottenham) – 9

Leon Bailey (Aston Villa) – 9

Bukayo Saka (Arsenal) – 9

Anthony Gordon (Newcastle) – 9

Mashuti (golini)

Darwin Nunez (Liverpool) – 104 (44)

Ollie Watkins (Aston Villa) – 103 (47)

Erling Haaland (Man City) – 99 (44)

Dominic Solanke (Bournemouth) – 99 (33)

Julian Alvarez (Man City) – 95 (36)

Mo Salah (Liverpool) – 93 (39)

Phil Foden (Man City) – 93 (40)

Bukayo Saka (Arsenal) – 91 (26)

Luis Diaz (Liverpool) – 88 (30)

Bruno Fernandes (Man United) – 87 (33)

Wamepoteza nafasi nyingi za kufunga

Erling Haaland (Man City) – 30

Darwin Nunez (Liverpool) – 26

Nicolas Jackson (Chelsea) – 21

Ollie Watkins (Aston Villa) – 20

Alexander Isak (Newcastle) – 15

Dominic Calvert-Lewin (Everton) – 15

Mohamed Salah (Liverpool) – 14

Rasmus Hojlund (Man United) – 13

Dominic Solanke (Bournemouth) – 12

Luis Diaz (Liverpool) – 12

Yoane Wissa (Brentford) – 12

Pasi muhimu

Bruno Fernandes (Man United) – 108

Martin Odegaard (Arsenal) – 93

Pascal Gross (Brighton) – 92

Bukayo Saka (Arsenal) – 83

Andreas Pereira (Fulham) – 82

Julian Alvarez (Man City) – 67

Dwight McNeil (Everton) – 65

Phil Foden (Manchester City) – 64

Morgan Gibbs-White (Nottingham Forest) – 64

Kieran Trippier (Newcastle) – 63

Pasi za kwenda mbele

Rodri (Man City) – 332

Martin Odegaard (Arsenal) – 306

Bruno Fernandes (Man United) – 281

Pascal Gross (Brighton) – 275

Declan Rice (Arsenal) – 259

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 250

Oleksandr Zinchenko (Arsenal) – 220

Enzo Fernandez (Chelsea) – 210

Alexis Mac Allister (Liverpool) – 196

James Maddison (Tottenham) – 191

Pasi ndani ya boksi la wapinzani

Martin Odegaard (Arsenal) – 112

Bruno Fernandes (Man United) – 84

Willian (Fulham) – 69

Dejan Kulusevski (Tottenham) – 69

Bukayo Saka (Arsenal) – 67

Pascal Gross (Brighton) – 67

Mo Salah (Liverpool) – 62

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 60

Cole Palmer (Chelsea) – 59

James Maddison (Tottenham) – 56

Rodri (Man City) – 55

Kupiga takolini (amepatia)

Joao Palhinha (Fulham) – 138 (71)

Vinicius Souza (Sheffield United) – 121 (75)

Joao Gomes (Wolves) – 110 (67)

Tyrick Mitchell (Crystal Palace) – 96 (53)

Emerson (West Ham) – 96 (61)

Alexis Mac Allister (Liverpool) – 90 (50)

Antonee Robinson (Fulham) – 84 (54)

Pedro Porro (Tottenham) – 83 (57)

Mario Lemina (Wolves) – 81 (53)

Edson Alvarez (West Ham) – 79 (39)

Kunasa mipira kwenye njia

Antonee Robinson (Fulham) – 75

Lewis Cook (Bournemouth) – 59

James Tarkowski (Everton) – 55

Teden Mengi (Luton) – 52

Ryan Christie (Bournemouth) – 49

Jarrod Branthwaite (Everton) – 49

Christian Norgaard (Brentford) – 49

James Garner (Everton) – 45

Joao Palhinha (Fulham) – 43

Edson Alvarez (West Ham) – 42

Kuokoa

Joachim Andersen (Crystal Palace) – 191

James Tarkowski (Everton) – 175

Max Kilman (Wolves) – 171

Murillo (Nottingham Forest) – 164

Ethan Pinnock (Brentford) – 155

Jarrad Branthwaite (Everton) – 147

Dara O’Shea (Burnley) – 145

Kurt Zouma (West Ham) – 144

Nathan Collins (Brentford) – 136

Auston Trusty (Sheffield United) – 135

Kugusa mpira

Rodri (Man City) – 3541

Lewis Dunk (Brighton) – 3296

Pascal Gross (Brighton) – 3193

Virgil van Dijk (Liverpool) – 3001

William Saliba (Arsenal) – 2841

Jan Paul van Hecke (Brighton) – 2668

Ruben Dias (Man City) – 2643

Max Kilman (Wolves) – 2501

Declan Rice (Arsenal) – 2481

Bruno Fernandes (Man United) – 2478

Kugusa mpira ndani ya boksi la wapinzani

Bukayo Saka (Arsenal) – 250

Alejandro Garnacho (Man United) – 219

Mo Salah (Liverpool) – 215

Dejan Kulusevski (Tottenham) – 204

Ollie Watkins (Aston Villa) – 203

Jeremy Doku (Man City) – 199

Dominic Solanke (Bournemouth) – 199

Luis Diaz (Liverpool) – 196

Darwin Nunez (Liverpool) – 189

Gabriel Martinelli (Arsenal) – 179

Heung-min Son (Tottenham) – 179

Kukokota mpira (alivyojaribu)

Mohammed Kudus (West Ham) – 103 (194)

Jeremy Doku (Man City) – 78 (149)

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 67 (118)

Ross Barkley (Luton) – 63 (98)

Luis Diaz (Liverpool) – 61 (128)

Eberechi Eze (Crystal Palace) – 60 (122)

Chiedozie Ogbene (Luton) – 59 (116)

Matheus Cunha (Wolves) – 59 (125)

Rayan Ait-Nouri (Wolves) – 56 (107)

Jordan Ayew (Crystal Palace) – 52 (129)

Kucheza mipira ya juu (amepoteza)

Virgil van Dijk (Liverpool) – 132 (29)

Dominic Calvert-Lewin (Everton) – 130 (131)

James Tarkowski (Everton) – 129 (54)

Carlton Morris (Luton) – 124 (154)

Dara O’Shea (Burnley) – 114 (64)

Oli McBurnie (Sheffield United) – 110 (113)

Ethan Pinnock (Brentford) – 103 (46)

Tomas Soucek (West Ham) – 101 (71)

Dan Burn (Newcastle) – 91 (39)

Dominic Solanke (Bournemouth) – 88 (127)

Kurudisha mpira kwenye umiliki

Ryan Christie (Bournemouth) – 211

Lewis Cook (Bournemouth) – 211

Antonee Robinson (Fulham) – 209

Rodri (Manchester City) – 205

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 202

William Saliba (Arsenal) – 202

Conor Gallagher (Chelsea) – 196

Ross Barkley (Luton) – 195

Tyrick Mitchell (Crystal Palace) – 193

Bruno Fernandes (Man United) – 193

Kuchezewa rafu

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 94

Jordan Ayew (Crystal Palace) – 94

Mohammed Kudus (West Ham) – 68

Bukayo Saka (Arsenal) – 67

James Maddison (Tottenham) – 64

Lucas Paqueta (West Ham) – 62

Anthony Gordon (Newcastle) – 62

John McGinn (Aston Villa) – 62

Ezri Konsa (Aston Villa) – 59

Tahith Chong (Luton Town) – 58

Kucheza rafu

Conor Gallagher (Chelsea) – 71

Joao Gomes (Wolves) – 58

Destiny Udogie (Tottenham) – 51

Ryan Yates (Nottingham Forest) – 50

Abdoulaye Doucoure (Everton) – 50

Joao Palhinha (Fulham) – 50

Alexis Mac Allister (Liverpool) – 50

Justin Kluivert (Bournemouth) – 49

Douglas Luiz (Aston Villa) – 47

Makosa yaliyosababisha mashuti

Wes Foderingham (Sheffield United) – 6

Jose Sa (Wolves) – 5

David Raya (Arsenal) – 5

Destiny Udogie (Tottenham) – 5

Wachezaji 11 – 4

Kadi za njano

Joao Palhinha (Fulham) – 13

Mario Lemina (Wolves) – 11

Anthony Gordon (Newcastle) – 11

Douglas Luiz (Aston Villa) – 11

Marcos Senesi (Bournemouth) – 11

Edson Alvarez (West Ham) – 10

Moises Caicedo (Chelsea) – 10

Joao Gomes (Wolves) – 10

James Tarkowski (Everton) – 10

Wachezaji 14 – 9

Kadi nyekundu

Oli McBurnie (Sheffield United) – 2

Yves Bissouma (Tottenham) – 2

Wachezaji 49 – 1

Clean sheets

David Raya (Arsenal) – 14

Jordan Pickford (Everton) – 12

Bernd Leno (Fulham) – 9

Ederson (Man City) – 9

Andre Onana (Man United) – 8

Emi Martinez (Aston Villa) – 8

Alisson (Liverpool) – 7

Neto (Bournemouth) – 7

Sam Johnstone (Crystal Palace) – 6

Guglielmo Vicario (Tottenham) – 6

Mark Flekken (Brentford) – 6

Sevu nyingi za makipa

Thomas Kaminski (Luton) – 131

Andre Onana (Man United) – 129

Bernd Leno (Fulham) – 122

Wes Foderingham (Sheffield United) – 118

Alphonse Areola (West Ham) – 118

Jose Sa (Wolves) – 113

Jordan Pickford (Everton) – 109

James Trafford (Burnley) – 106

Neto (Bournemouth) – 106

Mark Flekken (Brentford) – 104

Chanzo: Mwanaspoti