Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pichani ni Mshambuliaji wa Klabu ya Bayern Leverkusen ya Ujeumani, Victor Boniface alipokuwa na ndoto za kuwa mchezaji mkubwa na nyingine akiwa mchezaji mkubwa tayari.
Picha hii inaelezea kila hadithi inayohitaji kusimuliwa. Picha hii inazungumza mengi ikiwemo Subira, Nidhamu na kutokukata tamaa haijalishi unapitia hali gani
Juzi Jumapili Victor Boniphace alinyakua Ubingwa wa Bundasliga chini ya Xabi Alonso.
Ladies and Gentlemen, kila kitu kina wakati wake, NEVER GIVE UP kwenye kitu unachokifanya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live