Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Uingereza yapata pigo

Multiple Images   3 Split   Facebook Uingereza yapata pigo

Wed, 4 Sep 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Timu ya taifa ya Uingereza imepata pigo baada ya kuthibitisha kuwa, Cole Palmer, Phil Foden na Ollie Watkins wamejiondoa kwenye kikosi chao kwa ajili ya mechi zijazo za Ligi ya Mataifa Ulaya kutokana na masuala ya kiafya.

Kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Palmer na Ollie Watkins wa Aston Villa, walitajwa kwenye kikosi cha kwanza cha Three Lions cha kocha wa muda Lee Carsley lakini wamerejea katika vilabu vyao.

Mchezaji wa Manchester City Phil Foden pia hatacheza hata kidogo katika mechi zao dhidi ya Jamhuri ya Ireland na Finland baada ya kutoripoti kutokana kuwa mgonjwa.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live