Timu ya Taifa England imefuzu kwenda fainali za kombe la Mataifa Ulaya (EURO 2024) baada ya kutoka nyuma 1-0 na kushinda 3-1 dhidi ya Italia katika dimba la Wembley kwenye mchezo wa kundi C wa kufuzu EURO 2024
FT: ENGLAND 3-1 ITALY
⚽⚽ Kane (P) 32' 77'
⚽ Rashford 57'
⚽ Gianluca Scamacca 15'
England imeshinda kwa mara ya kwanza ikiwa nyumbani dhidi ya Italia tangu 1977. Italy imepoteza mechi ya kwanza ikiwa ugenini kwenye mechi za kufuzu EURO tangu 2006.
MATOKEO MENGINE KUFUZU EURO 2024
KUNDI C:
Malta 1-3 Ukraine
KUNDI G:
Serbia 3-1 Montenegro
Lithuania 2-2 Hungary
KUNDI H:
Finland 1-2 Kazakhstan
San Marino 1-2 Denmark
Northern Ireland 0-1 Slovenia.